Dr. Frederick Baijukya mmoja wa wahusika na Wamiliki wa Hotel ya Kyanyi Resort akitoa neno kwa Waalikwa (Hawapo pichani) kwenye Eneo la Bustani ya Hotel hiyo yenye Sura mpya Mjini Bukoba. Dr. Frederick amewataka Wafanyabiashara wa Mjini hapa Bukoba kutumia fursa ya Mkoa huu kuwa kitovu cha Biashara kwa Nchi za Afrika Mashariki kwa kujenga kumbi kubwa za mikutano pamoja na hotel mbalimbali.
Mtoto Mainda alipata picha kwenye Bustani ya Hotel hiyo
No comments:
Post a Comment